Fanya Ufanyalo ila Usilaumu ufanywalo.

Ni maeneo ambayo yametengenezwa kwa ajili ya kukutanisha viumbe mbalimbali na kwa ajili ya kusubiri maisha yajayo kwa ajili ya kuelewa vijavyo kwenye mtazamo ujao wa wale wasiodhania kuwa ni kila mtu wa kutothaminiwa na ni jinsi gani wanadhaniao kuweka mambo kwa  kuwa wanaweza kujulisha au kutoweka mambo yalivyo kama kawaida ya wengi .
Ujumbe umesha tumwa kwa wale wasiojuwa kuwa kuna uwezekano wa kuja kutokea yale niliyotabiri kutokea kwa wale wasio na dhamiri ya kweli na waliojaribu kuchukuwa maandishi yangu wakidhani watachukua utabiri wangu.
Ujumbe ni kwenu nyinyi wote mlio na roho ngumu na za ufedhuhi .Ni kwamba ujumbe si wangu bali ni amri kwenu nyinyi ili muelewe ya kuwa viumbe wapo na wanakuja kuchukua kama  nilivyo sema na inatokea iwe haukubali unakubali  au la.


Kwenye kila ahadi kuna jinsi ya walioahidi au waliodhurumu.Dhuruma ni mbaya kwa wasio elewa kuwa wanafanya au la. Oh ! unajuwa sana na tunaelewa umekuwa ni wa kutaka kuwa juu ya hawa  wote ila siku moja utakuwa umefikia sehemu ya kuwa chini ya wote hawa.Ujangiri mkubwa unafanya bila ya kuonea hata uruma walewanaojangiriwa .Unakula na kuwa na tumbo lisilo jaa huku umekaa na kudhania ya kwamba wao watakulisha mpaka mwisho wa dunia.Umekuwa na sura ya kinyago kisicho na hisia kinacheka milele bila ya kumaanisha kile kinachochekea .Kinyago ni kama kinyago cha mpingo ni vigumu kinyago kubadili rangi na hata kikibadili rangi kinabaki kuwa na uhalisia wake ndani.
Angalia vitu vingi tunaweza kufuatilia huku wote tukiwa tumefumba macho na kudhania ni kawaidi ya kuwa na hali ya upumbavu na ujinga unaofanywa na watu wa sasa.Ni rahisi kukimbilia kusema ni umaharufu na pesa ndivyo vyenye thamani huku wanaharibu watu wetu wenye vipaji na wanaoweza kusaidiana kuokoa dunia.
Utaona watu wanakimbilia kufanya mambo kwa ajili ya kupata fedha nyingi huku wakidahini wamefanyakazi kubwa kumbe wamejaribu tu kupata fedha nyingi kwa sababu wanahofu na hawajiamini-
Paza ujinga wako na kuuamini ni kitu cha maana huku ukiendelea kufanya unyangau usio na maana yeyote duniani .Mmoja wao anadhania ni wa kawaida kumbe ni mdanganyifu na hajuwi vizuri Ardhi ya mababu zetu .
Ardhi yetu ni ya mababu zetu na itaadhibu wale wote wasiojihadhari na upuuzi na ujinga wanaofanya juu ya ardhi ya Wafalme.Kuna wengi wanajaribu kuishi kwa kutishia na kujichukulia uamuzi wa hapo kwa hapo huku mazingira yakiwaangalia .Ujumbe huu si wangu bali upo na utakuwepo na si zimekaribia pale wenye ujumbe watakapowasili na kuwajulisha kuwa kila kita kitu kilikuwepo na kinajulikana na kilirekodiwa . Udhihaka wa wadhulumuni ni tabaka la wafedhuhi wenye Udhehuri na Ushuhuri.ibu watoto na kizazi kijacho cha watoto kijacho bila ya kuelewa na kujuwa athi na matokeo  ya tukio ulilofanya.Fanya ufanyalo ila usilaumu Ufanyalo.

Kommentarer

Populära inlägg